MBOWE:MABOMU YAMERUSHWA NA POLISI KWA MAAGIZO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

"Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema polisi wanahusika na milipuko katika mkutano wa CHADEMA na kuua watu watatu.

Mh Mbowe amesema ana ushahidi na picha za video za tukio hilo.

Mh Mbowe alisema hayo akihojiwa na ITV" From Jamii forums

Pia nape nae amekaririwa akisema chadema wenyewe ndio wamehusika na bomu hilo...
Sasa hapo sijui tumwamini nani ?
My take
---------
Hapa inawezekana hakuna kati yao aliyehusika but ni mtu we pembeni sasa havi amekaa anakunywa kahawa akichekelea jinsi wanavyozozana....Hivyo wasubiri uchunguzi wa Dola ..haya wanayoyasema bila uchunguzu yanatuchanganya tu ..


What is your Take ?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad