AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BUNGENI MUDA HUU............ Mbunge wa Nkassi Kaskazini Ali Mohamed Keissy ANAKINUKISHA BUNGENI MUDA HUU......... ANATAKA WALE WOTE WALIODHULUMU SHIRIKA LA NDEGE WAFUFULIWE HATA KAMA WAMEKUFA ILI MIFUPA YAO ISAGWE SAGWE IWE HUKUMU YAKO;;; (rekodi aliyonayo mbunge huyu aliwahi kusema kuwa endapo serikali haitapeleka maji jimboni kwake atawabeba kwenye gari wanawake ambao hawajaoga kwa muda wa siku tatu na kuwapeleka bungeni ili wakakinukishe kikwapa mjengoni)PIA NI WIKI ILIYOPITA TU ALIULIZA KAMA ILE GESI YA MTWARA NI YA KUJAMBA AMA LAA...........
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Bunge la sasa raha sana.. yaani haliishi vituko
ReplyDeleteBunge la sasa Full vituko.. halichoshi..kwi kwi kwi..
ReplyDeletebwahahaha
ReplyDeleteHaaaaaaaaa,huyu mbunge kituko,si yetu macho na masikio,loh!
ReplyDeletehahaha
ReplyDeletei like it
ReplyDelete