AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jamani mwenzenu mume wangu ananiambia nina husuda, hii ni nini? Kisa tu
nimegundua anatembea na house girl wa jirani..walianza Kuchekeana kila
Wakikutana..Baada ya week moja house Girl wa jirani akawa na simu kumbe
ile simu mume wangu ndio alimnunulia..Kuna siku nikakuta message mume
wangu amemuandikia akimwambia atoke ndani kidogo wafanye mapenzi kwenye
gari kama siku ile..Inaniuma sana jamani Nishaurini
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
mdatishe kwa kumpa mapenzi mazito atatulia 2
ReplyDeletejiulze maswli kuna shida gan kati yko na mumeo
ReplyDeleteDuh pole sana Dada yangu kwa yaliyokukuta hapo inatakiwa ni wewe Kua mbunifu katika Mapenzi inavyo onekana katika mapenzi yako kwa Mumeo kuna Mapungufu,Jambo la muhimu
ReplyDeleteutakiwao kulifanya tafuta mashangazi ya Mujini wenye heshima zao watakufundisha jinsi gani unatakiwa Uwe Fundi Kitandani na kila unapo onana na Mumeo na usipo Kua makini uyo House girl soon aweza Kua Mke wa pili ningekua na Namba yako ningekushauli moja kwa moja