AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati bado nashangaa shangaa Mara likaja gari la Polisi na Wale mgambo wa jiji...Mara nikaona watu wanakimbia huku na kule ...Kushangaa kumbe wale wamachinga bado wapo ila wanauza kwa kujificha ficha kwenye vichochoro vya maduka..Sasa Kimbembe kikaanza wale wanamgambo wakawafuata huko huko na kuanza kuwapiga na kuwavunjia meza na viti vyao...Kwa kweli iliniuma sana kuona watanzania wenzetu wakifanyiwa hivyo ....Bado sijapata jibu ...siko zote mbona hawakufukuzwa ?? Huu Ugeni ndio imekuwa Nogwaaaaa....Na uhakika kuna ambao wanalisha na kutunza familia kwa kazi hizi za umachinga sasa watakula wapi kama hali ndio hiyo????
By Regina Iwole
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hii ndo tanzania ya wanyonge kuonewa,mji ausafishwi had aje rais wa dunia?,baada ya mgeni aje wenyeji wapone sasa mgeni aje wagen wasulubiwe,
ReplyDeleteshame on you TZ gov't, hata mungu hammuheshimu kama hvy, lkn mnathamini sana kiumbe chake mpaka mnasababisha kudhulumiana, Obama si chochote kwa mungu, Mungu atawaongoza wote waliodhulumiwa, ameen!!!
ReplyDeleteHao viongozi na hiyo Halmashauri ya sijui Jiji woote ni WAPUMBAVU. Wanafikiri hao wageni hawajui yanayotendeka humo ndani ya nchi? Siku hizi kuna Satellite kila kona inaona na mtu yeyote haaswa wale waliopo nje hitumia saana kuangali majumbani kwao .... chagueni viongozi wanaoendana na wakati na sio washamba washamba, wengine washamba hata wa nguo za kuvaa!
ReplyDeleteMtu hunena kilichoujaza moyo wake, lugha kali simsaada. wapeni heshima wanaostahili heshima na kutetemeka wanaostali kutetemeka. hivyo ndivyo neneo la Mungu linavyosema
Delete