AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya mh.waziri mkuu mizengo pinda kutoa ruhurusa kwa polisi kupiga wananchi..Mh mbunge zitto kabwe nae atoa lake juu ya mh.waziri mkuu...Kupiitia tweet yake Zitto alisema "Viongozi wa kisiasa lazima wajue kuwka akiba ya maneno yao .kuropoka hovyo hovyo wakati kama huu wenye taharuki ni hatarii sana"..Aliongezea "Ni lazima viongozi wawajibishwe kwa maneno wanayotamka.Mh. Pinda anahamasisha ukiukwaji wa katiba na sheria Asipowajibishwa.!"
HIZI NDIZO TWEET ZA MH.ZITTO KABWE
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Sasa anaongea twitter wakati bunge analiona
ReplyDeletekuongea ni popote we vipi?
ReplyDeletepoa mh. lakini watu wanao tumia mitandao ni wachache ukilinganisha na idadi kubwa ya watanzania cha msingi ungenena hayo kwa bunge au kupitia redio ili kila mtanzania asikie usemi wako
ReplyDeleteYes, u r right
Delete