AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Boniface Wambura ambaye ni Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ameliambia gazeti hili kuwa, Kim amepanga kutumia mfumo wa kushambulia mwanzo mwisho ili ahakikishe wanafunga mabao ya mapema zaidi.
“Kocha anasema kuwa atatumia mfumo wa kushambulia mwanzo mwisho lengo ni kupata mabao ya mapema zaidi na kisha kuyalinda katika kipindi cha pili.
“Wachezaji wote wapo fiti, (Erasto) Nyoni amerejea na alifanya mazoezi kama kawaida lakini mwalimu anatarajia kumuanzisha (Thomas) Ulimwengu ambaye atacheza pacha na (Mbwana) Samatta, tutarejea nyumbani Jumapili,” alisema Wambura.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
All the best stars. Make Tanzanians happy !!
ReplyDeletemcje mka2angasha mazee..2tackia raha sana mwakani mko brazin mnagombania kombe la dunia..all the best
ReplyDelete