SUGU AKAMATWA KWA KUMTUKANA WAZIRI MKUU AACHIWA KWA ZAMANA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MBUNGE wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (SUGU) amekamatwa na Jeshi la Polisi Mjini Dodoma na kuachiwa kwa dhamana.

Mwandishi wetu akiwa Mjini Dodoma anasema kwamba Mbunge huyo alikamatwa muda mfupi baada ya kutoka katika vikao vya Bunge.

Sugu alikamatwa na kupelekwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dodoma na baada ya kuhojiwa aliachiwa kwa dhamana na kutakiwa kuripoti kituoni hapo kesho asubuhi kwa mahojiano mengine.

Hata hivyo taarifa za awali za tukio la kukamatwa kwa Mbunge huyo wa Chama Cha Manedeleo na Demokrasia (Chadema) zinadai kwambwa inatokana na kosa la kutoa maneno ya uchochezi, matusi na dhihaka kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda.

Habarim
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Muhalifu WA kwanza ni pin a,yeye ndio aliotoa statement inayovuruga amani,pumbavu pinda.carrier mkubwa

    ReplyDelete
  2. What's this bullshit? Kila mtu anakamatwa katukana kachochea you big fishes get serious kidogo bhana

    ReplyDelete
  3. tumeshazoea ni ya kawaida. Labda angefafanua nn maana ya tafsiri ya neno pumbavu kwa kutumia kamusi yetu ya kiswahili

    ReplyDelete

Top Post Ad