AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tetezi nilizozipata kutoka kwa wakazi wawili wa mtwara (ambao ni
wafanyabiashara) zinasema kwamba wakazi wa mtwara leo wanafanya mgomo
baridi bila kupambana na mtu ili kushinikiza mbunge wao aachiwe.
Wamepanga kutofungua biashara yoyote wala kuendesha maandamano ya aina
yoyote kwa siku nzima ya leo.
Wafanya biashara hao wawili walifuata mzigo Dar na sasa wameamua kusubiri siku ya kesho ipite ndipo waende.
Mwenye Taarifa nini kinaendelea huku tujuze Hapa
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK