"TUTAIFUTA CHADEMA ENDAPO ITABAINIKA KUWA WALIRUSHA BOMU LA ARUSHA WENYEWE"....TENDWA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini John Tendwa,  amedai kuwa ikibainika kuwa CHADEMA ndio waliohusika katika kulipua bomu katika mkutano wao wa 15/06/2013 atakifuta.
Tendwa  ameyasema   hayo alipokuwa akizungumza katika kipindi cha Hot Mix cha East Africa Television akijibu swali la mtangazaji wa kipindi Adrian Stepp  kuhusu  hatua  zitakazochukuliwa...
Alipoulizwa kama itathibitika kuwa CCM ndio walihusika kulipua bomu hilo amedai kuwa hawezi kukifuta kwakuwa kwa kufanya hivyo itakuwa ni kufanya mapinduzi ya kalamu.
Source :Jamii forums
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Endapo hiz zote ni njama za CCM kuua CHADEMA zishndwe na zilegee!

    ReplyDelete
  2. Huyo tendwa ndumilakuwili tu!!poor attitude

    ReplyDelete
  3. ikibainika ni ccm ndo waliofanya hvyo ifutwe pia sio unaegemea upande mmoja. Mnahukumu kwa kutumia sheria au hisia! Haki sawa

    ReplyDelete
  4. Tanzania haijawahi kuwa msajili wa vyama mpumbavu kama john tendwa.

    ReplyDelete
  5. Tena mpuuzi sana,huo mwanya akili ataipata wapi,ndo njama zao CCM,wafute waone! Pumbaaaaaavu

    ReplyDelete
  6. Mpumbavu kabisa huyu kama anaamaini kuwa sheria zake zinauma upande mmoja tu.

    ReplyDelete

Top Post Ad