wanaume wengi ni wabinafsi na wanajifanya wajuaji ila 400% they are mentaly weak

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baadhi ya tabia na sifa za wanaume wabinafsi
1.90% ya wanaune much know utasikia jana nimempiga demu fulani goal 4? akiamini amemfikisha je wajuaje kama mwanamke ameridhika kwa hizo goal 4? je mwanamke naye husema kwa wenzie nimepigwa goal 4?
2.simu zao zipigwapo hupokelea nje akifanya mwanamke kesi.
3.akisha kojoa yeye haangali upande wa pili kama mwenzake anamuhitaji.
4.mwanamke akiwa mja mzito upendo na mapenzi hupungua safari zinazidi ila yeye akiumwa tu mwanamke akichelewa kurudi nyumbani au kupokea simu kauli zake ni ulikuwa kwa mabwana zako kwa kuwa mimi naumwa.
5.humtumia mwanamke kama chombo cha starehe na sio kama mtu sahihi na faraja yake katika maisha.
6.hawana hekima na sio watunzaji wa siri
7.sio wabunifu wa mapenzi
8.wavivu kutafakali na kutenda .
9.baada ya kufanya makosa ni wagumu kuomba msamaha
10.ni wenye kinyaa linapokuja suala la sex na baada ya goal moja humpa mwanamke mgongo.

wanaume wengi wanajifanya wajuaji na wenye kujua wanawake ,wapatapo mwanamke mwenye dhamira ya dhati na mapenzi madhubuti wao hu take advantage ya kumnyanyasa ,kutomridhisa na kumkejeli kwa mambo mengi sana,hii huchukua muda kama miaka 2 na kuendelea ,mwanamke akiwa na ndoto njema kwa huyo mwanaume lakini mwanaume huwa tunakuwa busy na wanawake wengine.muda ni hakimu bora wa kila jambo mwanamke anapopata mwanaume mwenye dhamira kama yake huwa wanafunga moyo kwa mwanaume much know na kwenda kwa mwanaume mjinga na mnyenyekevu anayejua kupenda kwa maneno na vitendo anayetoa faraja kwa 1000%.Hapo ndio much know huanza kufanya yale ambayo hajawahi fanya,anaanza kujali muda ambao sio wa kujali,kutext muda wa kupiga ,na kuonyesha uungwana muda wa starehe moyo wake na akili yake huwa haviendi sambamba.mwisho wa siku anapoteza mwanamke bora na akitumia mbinu chafu kuharibu uhusiano wa watu wenye dhamira bora. mwanamke ana siri nzito moyoni ambayo mwanaume huwezi jua .ukipata mwanamke/mwanaume sahihi mpe heshima na mapenzi ya dhati ukweli humuweka mtu huru
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad