AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aunt anayetumia jina la Rahma baada ya kubadili dini ili aolewe na mwanaume huyo, amemtosa mkaka huyo na kuendelea kula bata nchini huku akidai kuwa mumewe hana mengi.
"Sina mpango wowote wa kuondoka nchini kumfuata mwanaume.Yeye ni mume wangu, ntamkuta tu hata nikienda mwakani.
"Kwanza mume wangu hana mengi na si mkorofi na anajua wazi kwamba sipendi kubanwa.Kwa sasa nina mambo mengi likiwemo hili la kuisambaza filamu yangu mpya ya Scola mwezi ujao"...Alisema aunt Ezekiel
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mmmmh huyo mwanaume mtoto? Au.....!!!! Duh km nimtu mzima bac mbegu mbaya sn!
ReplyDeletehuyo mme bwege,hajui mambo huyo,si ant ezekiel si mmeo wote wapuuzi.
ReplyDelete