AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa zinadai kwamba, Mbowe alitiwa nguvuni na polisi baada ya kuwatuhumu kuhusika na mlipuko wa bomu la arusha katika mkutano wa CHADEMA.
Kuachiwa huru kwa Mbowe kumetokana na majadiliano ya kina kati ya polisi na mawakili wake ambao wa wamekubali kujibu kwa maandishi ni kwa nini Mbowe aliwatuhumu polisi kwa mlipuko huo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tutapatana 2015,subirini
ReplyDeleteYani huyu ni mwiba wa Taifa letu. Tumemchoka tumeichoka chadema. Nothing than ubaguzi na kuligawa taifa letu. Tuweni macho jamani
ReplyDeleteYani huyu ni mwiba wa Taifa letu. Tumemchoka tumeichoka chadema. Nothing than ubaguzi na kuligawa taifa letu. Tuweni macho jamani
ReplyDeletehahahaaaaaaaaaa mnapenda afe siyo? HAYA SASA WANAOSEMA NDIYO waseme ndiyoooooooooooooooooo NA WANAOSEMA SIYO Waseme SIYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO???? HAYA WALIOSEMA NDIYO WAMESHINDWA. NA WALIOSEMA SIYO WAMESHINDA. UKIBISHA TUTATOA TAARIFA 2015 OCTOBER JUMAPILI MOJA HIVI.
ReplyDelete