HAYA NDIO MAJINA NA PICHA ZA WANAJESHI WA TANZANIA WALIOKUFA KATIKA MAPAMBANO NA WAASI DARFUR SUDAN.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Askari hao waliokufa ambao walikuwa kwenye vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa huko nchini Sudan ni :-
(1.) Sajenti Shaibu Othuman,

(2.) Koplo Oswald Chaula,

(3.) Koplo Mohamed Juma,

(4.) Koplo Mohamed Chikilizo,

(5.) Pte. Rodney Ndunguru,
(6.) Pte. Peter Werema,

(7.) Pte. Fortunatus Msofe.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kwenye mtandao ni kwamba askari hao walikwenda kujaribu kumwokoa mwenzao (ambaye hakutajwa) ambaye alisemekana kutekwa na vikosi vya waasi nchini humo.
Wakati wakijiandaa, ghafla walizingirwa na askari hao waasi na kisha kushambuliwa kwa risasi hadi kufa.
Haikufahamika hali ya askari huyo ambaye alidaiwa kutekwa kama bado yu hai ama ni miongoni mwa waliokufa.


Mungu azilaze roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina.
Picha na habari : JF
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Pumzikeni mashujaa zetu
    ameen

    ReplyDelete
  2. mwakaboy@gmail.com18 July 2013 at 13:46

    mungu azilaze roho za ndugu zetu mahali pema amina

    ReplyDelete

Top Post Ad