AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lulu aliandika hayo juzikati alipokuwa akichati na mashabiki wake kupitia ukurasa wa facebook ambapo alikuwa akiulizwa maswali na kuyajibu live kupitia Runinga ya East Africa.
Mmoja wa mashabiki wake alimuuliza Lulu kuhusu mipango yake ya kurudi shuleni ambapo alimjibu kuwa yupo katika mipango hiyo hivyo hivi karibuni atarudi darasani.
“Am on process..soon mpenzi nitarudi darasani,” aliandika Lulu ambaye awali alidaiwa kukatisha masomo yake ya sekondari.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Fala tu Malaya mkubwa
ReplyDeleteEti arud shule! Labda mbolo za wanaume ziwe zimekatika zote.
ReplyDeleteAll de best lizzy
ReplyDeleteacheni kutukana jamani arudi shule asirudi yote ni maisha yake hayatuhusu.
ReplyDelete