AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Producer wa video za muziki Tanzanzia kutoka Arusha, Nisher, leo hii
ameamua kumwaga sifa za kutosha kwa muigizaji Elizabeth Michael (Lulu),
kupitia mtandao wa Instagram.Nisher amesifia baadhi ya viungo vya mwili
vya dada huyo, kama zegembe, miguu, macho pamoja na smile yake.
Kwa mua mfupi tangu alipoingia kwenye utengenezaji wa video, Nisher
amefanikiwa kutoa video kali kama "Mama yeyo" ya G Nako feat Ben Pol
pamoja na "Jikubali" ya Ben Pol ambayo imefanikiwa kuchezwa kupitia
kituo cha Televishen cha South Afrika "Channel o"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mtoto mzuri balaa amejaliwa
ReplyDeleteHizo zote ni prom tu.
ReplyDeleteMzuri mnooo duh !!! Nampenda sanaaaa
ReplyDeleteOi'bdada kavp m nataka nkuoe au we unaxemaje.
ReplyDeleteNi kweli ni kazuri balaa!
ReplyDeletesio mzuri wa nje tu hata ndani...wallah nataka nirudie tena..lulu mtamu kama dhambi...ukiifanya tu hauachi
ReplyDelete