M2 THE P ASHINDWA KUONGEA YALIYOWAPATA MPAKA NGWEAR AKAFARIKI AISHIA KUSEMA HAYA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa mara ya kwanza toka kitokee kifo cha rapper Albert Mangweha (Ngwair) rafiki yake wa karibu ambae ni M2TheP waliekua pamoja Afrika Kusini mpaka umauti umemkuta Ngwair, amefanya interview kwa mara ya kwanza kwenye radio kupitia XXL ya @CloudsFM na kuzungumza machache pamoja na kutambulisha single yake mpya na ya kwanza toka kifo kitokee.
M alishindwa kujibu maswali mengi yaliyotaka kujua kilichotokea kwa Ngwair na akaishia tu kukanusha kuhusu ishu za dawa za kulevya kwa kusema sio kweli kwa sababu siku zote dawa za kulevya huwa hazichukuliwi South zikaletwa Tanzania bali huchukuliwa Tanzania na kupelekwa South Afrika.
Akiwa bado anajisikia uchungu kwa kile kilichotokea kwa Ngwea, M2theP alishindwa kueleza kuanzia mwanzo mpaka mwisho lakini akaahidi kukisema chote siku chache zijazo mbele ya Waandishi wa habari.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Continue to be a coward by keeping quite M to the P cause that's what you are. Something that cost your friend's life and almost your own life and still you just don't want to come clean abt it. Yes you are a coward worthless pig who are u trying to protect?! May be you should have died along witg your friend too since you really want to keep quite about this may be that would fullful your wish of being silence abt this issue and you are not a good friend to Ngwair either you should be his voice since u know what went down there in SA. It doesnt matter how bad the truth is drugs or no drugs spit it out and show u have changed u can save many lives of other kids who are falling on the same trap of tragedy. Instead you seem determine to use your friend's death to promote your filthy music cause you were a nobody until his death lucky for u to be around him on his final moment and since u cheated death u turn ur friend into a cash cow and clearly since you are covering the truth abt drug facts you seem like you ate going to get back into business again. Goodluck with that dude u wont last long in music game or drugs

    ReplyDelete
  2. Mpotezeeni huyo coz anatafuta kiki. Kwanza bila kifo cha Ngwea tusingemjua.

    ReplyDelete

Top Post Ad