AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ajabu ni kuwa mbona jambo hilo limeshindikana kwa DSTV? Mwenye kutumia kutumia kingamuzi cha kampuni ya Multichoice (DSTV) ni lazima uwe na kingamuzi kingine maana kama fedha imekata DSTV HUWEZI pata matangazo ya hizo channel za bure bila malipo.
Je, wizara yako na tume ya mawasiliano mumewashindwa hao wawekezaji? Maana kama suala hilo kwao halipo mbona channel za kichina zinaonyeshwa bure?
Hii inamaanisha serikali yetu ina katabia ka kuwaogopa wawekezaji bila kujali maslahi ya wananchi wao?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Fanya utafiti kabla ya kupost usije ukapost pumba. Dstv na Zuku wamesajiliwa na TCRA kama Pay tv. Hawana kibali cha kurusha local channels bure cos hata wao wananunua. Zuku wanadai wanafuatilia kupata leseni lakini hawafungwi na sheria.
ReplyDelete