AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti huyo ambaye pia ni Kiongozi Rasmi wa upinzani bungeni alipata fursa adhimu ya kufanya mazungumzo ya Faragha na maafisa wa Ikulu ya Marekani walioambatana na Rais Barack Obama.
Mpaka sasa kilichozungumzwa na Kiongozi huyo anayeongoza chama kinachopendwa na watanzania wengi zaidi hakijawekwa bayana ingawa wachunguzi wa mambo wanasema yalikuwa mazungumzo nyeti na muhimu kwa mustakabali wa demokrasia na amani ya Tanzania.
Taarifa zaidi zinasema Kiongozi huyo wa Upinzani nchini alialikwa na Ikulu kwa shinikizo kubwa kutoka ubalozi wa Marekani kutokana na Taifa hilo kutambua kazi kubwa inayofanywa na wabunge wa CHADEMA ndani ya bunge la Tanzania.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK