MDAHALO WA AMANI NKURUMAH-JESHI LA POLISI LASHUTUMIWA KUVUNJA AMANI TANZANIA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Katika Mdahalo unao endelea sasa kwenye ukumbi wa nkurumah wa Mustakabali wa Amani na Usalama , wachangiaje mbali mbali wamesizitiza kuwa Jeshi la polisi ndilo chanzo cha Ghasia nyingi na Mauaji yanayotokea katika shughuli mbali mbali hasa kunapokuwa na upinzania katika mikusanyiko hiyo..pia haki ya kikatiba huwa inakiukwa na polisi kwa kukataza maandamano ya upinzani...ambayo inaruhusiwa na katiba ya nchi ...wachangiaje wametoa na mifano mbali mbali kuhusu hilo ....
Je hili ni kweli kwa mtazamo wako?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ni kweli hakuna asiyejua hata wewe admin unaujua ukweli sema unatutega tu

    ReplyDelete

Top Post Ad