MSHIRIKI WA TANZANIA "NANDO" KUPANINDISHWA KIZIMBANI BAADA YA KUMZALILISHA "SELLY" KWA MADAI AMEMWAMBUKIZA GONJWA LA ZINAA NDANI YA JUMBA LA BIGBROTHER

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mshiriki wa pekee katika Jumba la BBA The Chase Selly kutoka nchini Ghana, amesema ya kwamba yupo mbioni kumfungulia mashtaka mshiriki kutoka nchini Tanzania Nando kwa kitendo cha kumdhalilisha na kumsingizia amemuambukiza Ugonjwa wa Zinaa.

Baada ya kutolewa katika jumba hilo wiki iliyopita, Selly ameshauriwa na mama yake na tayari wamewasiliana na Waandaji wa Shindano hilo. " Nimepima  sijakutwa na maambukizi ya aina yoyote ya Magonjwa ya Zinaa wala sina historia hiyo" Alisema Selly.

" Mimi na Nando hatukufanya Mapenzi zaidi ya kucheza tu Kitandani, nashangaa hata kwa kiasi gani mambo yamekuwa hivi" Aliongeza Mrembo huyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wabongo kwa kupenda sifa utawajua tu

    ReplyDelete
  2. kama wamecheza tu kinachomfanya akapime nn.atoe usanii we aint kidz jaman

    ReplyDelete

Top Post Ad