AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana usiku Diva wa Clouds aliwakutanisha wanamuziki wawili Snura na Shilole ambao kwa sasa ni kama wanashindana kwenye staili ya Muziki wanao Imba ...Snura kwa sasa anatamba na wimbo wake wa Majanga wakati shilole ametoa wimbo wake unaitwa Nakomaa na Jiji unaotamba kwenye Redio Mbali Mbali...Sasa Katika Kipindi hicho Diva Alijaribu kuwachimba kama wana Beef kati yao lakini walikataaa....
Je wewe unavyoona kati ya SNURA NA SHILOLE nani Mkali?
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Snura noma
ReplyDeleteSnura apana chezeyaaaa
ReplyDeletesnura yupo juu
ReplyDeleteSnura mwanzo mwisho..
ReplyDeleteShilole na paka la bar Lol..
ReplyDeleteSnura shoga yake mamaaaaa..
ReplyDeletesnura
ReplyDeleteSnura Oveeeer
ReplyDelete