AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Haya
ni mashairi aliyoyaandika Nay wa mitego kwenda kwa mtoto wa
Rais a.k.a Riz One akimtaka amwambie baba yake kuwa mtwara
hawataki korosho, wanataka gesi na pia Lowassa asiache kugombea
urais maana yupo tayari kumpigia kampeni-2015
----------------
MASHAIRI YAKE:
Naongea na Riz one hey Riz
One, we si mtoto wa raisi Riz one. Mwambie dingi yako Masela hawamuelewi
wamakonde wa Mtwara hawataki tena Korosho, wanaitaka ges si mtawaua na
mkong'oto?! Nani lafiki wa Lowasa anifikishie salam 2015 nataka agombee
uraisi nitamfanyia kampeni wananchi wampe nafasi,
# Salam zao#
my new track coming soon.!!
Credit:djchoka
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK