AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika mji wa Maryland nchini Marekani ambapo staa huyo amekwenda kwa ajili ya kufanya shoo kisha kupigwa picha hiyo na rafiki yake ambaye aliiweka mtandaoni ikimuonesha akiwa amefunga taulo kwenye matiti.
Paparazi wetu alipomuuliza Shilole kulikoni kupitia mtandao wa Instagram, alifunguka:
“Huku watu wanaishi kizungu hakuna mtu anayeshughulika na maisha ya mwenzake kila mmoja anahangaika na mambo yake kwa hiyo siyo ajabu mimi kuvaa taulo na kwenda nalo supermarket, huku ni kawaida tu.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
uchz na ushamba unamsumbua na hata kama wanaishi kizungu jeee alishawah kuona mzungu kafanya kama alivyofanya...acha wehu mdada umaarufu hauongezwi hvyo
ReplyDeletenafikiri ni safari yake ya kwanza nje ya nchi.....ni ushamba tu akizoea ulaya ataacha.....
ReplyDeleteHata kama wazungu wanafanya ujinga na upumbavu wewe ndio uige?!Au unaamini kwamba watu weupe hawana upumbavu ktk vichwa vyao?Sio heti ndio mara ya kwanza kusafiri nafikiri hiyo sio sbb,kwan kila kitu kina mara ya kwanza.Jee wewe mara yako ya kwanzab hulipo safiri ulifanya ulimbukeni kama huu?Hiyo ni yye tu.............!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteHata kama kila mtu na hamcn zake...huo USHAMBAAAA..... Anatafuta kujulikana kua yuko US...shule nazo zinasaidia hamna kitu hapo kichwaniiii
ReplyDelete