AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Week hii kwenye show ya Big Brother Eviction Amechaguliwa Mtanzania anayejulikana kwa jina la Wakazi kubarudisha jumapili hii, wengi hawamjui jamaa huyu , pia hana single ambayo watanzania wanaijua ..amekuwa akiishi Marekani muda mrefu na nyimbo zake nyingi zile za mix tapes...Sasa TID kaibuka na kusema haya hapa chini .....
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Let me talk kiswahili? Hivi nikikuuliza unichagulie watanzania elfu moja wakuinbie mstali mmoja wa wimbo wa wakazi wenye baa 3 mpaka 6 utapata wangapi kama sio upumbavu tubadilike jamani ili tuwe mfano tazama nando anafanya madudu ndani ya big brother why wanawashobokea wanaotoka marekani hau huwa wanagawana pesa nn huyo wakazi nimemjua jana tu baada ya kusikia kuwa anakuja south africa
ReplyDeleteWivu. Wivu. Wivu. Hahahahahaha. Nenda wewe basi
ReplyDeletetid anaweza kishenz kwanza swag zake bongo hakuna anae mpata yuko simple anaelewa,nenda kawakilishe tz,nando nae bba anafanya yake fresh 2.
ReplyDelete