AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya mchoro huo kukamilika, Uwoya aliitumbukiza kwenye mtandao wake wa kijamiii wa Facebook na kutazamwa na watu kibao ambao waliipenda.
Hata hivyo, baadhi ya watu waliozungumza na mwandishi wetu kuhusiana na tatuu hiyo walisema Uwoya amefuata nyayo za wanawake wengi wa Kiafrika ambao wakishazaa huwapenda sana watoto kuliko baba zao.
“Picha ni nzuri, mama ameonesha upendo wake kwa mtoto lakini hii ni tabia ya wanawake wengi wa Kiafrika, wakishazaa mapenzi yote wanayahamishia kwa watoto badala ya waume zao.
“We fuatilia utagundua ndoa nyingi huanza kuyumba baada ya mke kujifungua, maana mapenzi yote yanahamia kwa mtoto, mume kama hana subira anaanza kutafuta mwanamke mwingine wa kumpenda upya.
“Inawezekana Uwoya mwilini mwake hana tatuu hata moja ya mumewe, lakini Krrish kamchora nyayo ili kuwaoneshea wadau wake,” alisema Oscar Samuel, mkazi wa Mwenge, Dar.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hizo nyayo ni za sokwe,wadau angalieni vizuri kisha toeni comments zenu.
ReplyDeleteumeuaaaaaa
Deletesure,tatoo mbovu kama hiyo,unyayo wa chimpanzee
DeleteTena sokwe dume
ReplyDeleteHaaaaaaaa,aliyemchora kamkosea,duh,eti sokwe,watu mna maneno jamani
ReplyDeleteningechorwa mm tofautna nilivotegemea,huyo tatooist angerudisha pesa na riba juu,tatoo mbovu dunia nzima
ReplyDelete