AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi karibuni kituo cha K24 cha nairobi kilibaini kile ambacho watu wengi kiliwaacha mdomo wazi kuwa, wapo wake za watu wanaofanya shughuli za kuuza miili yao mchana na usiku kurejea nyumbani kwenye ndoa zao.
Kwenye uchunguzi huo wa hatari, waandishi wa kituo hicho walienda kwenye baadhi ya madanguro na kujifanya wateja huku wakiwa na camera zilizokuwa zimefishwa. Tazama video hii itakayokuacha mdomo wazi.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Nikimkuta mke wangu hivi nauwa na kumzika mwenyewe kwa mikono yangu
ReplyDeleteWacheni hayo kwani si kulikuwa na Jumba la Magoti Hapa Jiji Dar na lilkuwa linatambulika kisheria hata Mwalimu juliasi mwenyewe anasema aliwahi kuingia katika wakati wake
ReplyDeleteDuuh...kaaz kweli kweli
ReplyDelete