Basi wakaazi wa mji wa Eldoret waliwashambulia kwa viboko wezi wanne
waliopatikana wakiendeleza kazi hiyo ya kuibia wafu. Na japo walijaribu
kujitetea kuwa na mipango tofauti ya kuchimba makaburi hayo, mifupa ya
maiti iliyokwa pembeni ilikuwa thibitisho tosha kuwa bidhaa za wafu
ndizo zilizowavutia hapo. Angalia Video Hapa chini: