AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuna mkaka anafanya kazi jirani na jengo letu, tunashea kantini.Ni mzuri na mpole sana
Sikutaka kumuliza kama ana mke- bcs siitaji ndoa naye bali kutoka naye at least twice.Nikafanikiwa kufahamiana naye na tukaanza kuchati.
Nikamwomba juzi jmosi- tutoke wote akanijibu ameshamaliza mshahara coz wanapokea date 18, nikamjibu usjali mie nitakuwa mwenyeji wako.
tukakubaliana kijihoteli anachotaka, saa kumi nipo chumban nampigia anatoa positive response, saa tatu usiku ananletea swaga za kishamba eti mkee wangu karudi, mara sjawahi kumdanganya mke wangu atanishtukia
Jana anantumia sms eti samahan aliniona kama malaya kwa sababu ya mimi kujipeleka kwake
-NB;! WAKAKA NAWAOMBA HATA KAMA HUJAMTAKA MDADA kwa kuwa huyo mdada ndiye aliyetaka gemu basi mpatie haki yake.Hujaombwa uoe ila gemu tu tena once kinachokukatalisha ni nini kama sio roho mbaya??
Source:Jamii Forums
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
jaman mimi mbona cpat bahat km hiyo kwel kwenye miti hapana wajenz
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDeleteTATIZO kIMWI SIO PENZI,
ReplyDeleteTATIZO kIMWI SIO PENZI,
ReplyDeleteSalum umesababisha nicheke sana
ReplyDeleteAdmin ishu sio kupga game tunarud upande wa pili cha kwanza jamaa alikuwa mkweli kuwa ana mke wake.....pili binti tamaa za kihisia znampeleka puta n ashukuru Mungu cz hawez jua jamaa kamuepusha na nn
nipe hyo Golden chance nifunge Tanzanite Goals
ReplyDeleteMm ni handsome boy na nina ngekewa ya kupendwa sana na mademu,ila tu napenda nimuanze mimi mwenyewe ,akinianza tu yeye au akijilengesha sana mapenzi yote hupeperuka hewani,imekula kwake!
ReplyDeleteacha usenge ww
ReplyDeleteJamani kumbukeni UKIMWI hupo na unaua, ila kikubwa ni hizi mila zetu nzuri za kiafrika yakuwa mwanaume ndio mtongozaji na si mtongozwaji so issue uwa ngumu kwa mwanmme kutongozwa, acha tamaduni za kidhungu. Dada zangu acha kujirahisisha kihivyo, nyie ni watu wa thamani sana!
ReplyDelete