DORIS MOLEL AIBUKA REDD'S MISS ILALA 2013

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Washindana kuonesha kipaji cha kucheza.
.Mashuhuda.
Wakipita na kivazi cha ufukweni.
Vazi la jioni.
Hii ndio tano bora.
Miss Ilala 2013, Doris Molel akipunga mkono kwa furaha baada ya kutwaa taji hilo. Kulia ni mshindi wa pili Alice Isaack na kushoto ni mshindi wa tatu, Clara Bayo.
Huyo ndiye Miss Ilala akiwapungia mkono watazamaji hawapo pichani.
Mrembo Doris Molel usiku wa kuamkia leo ametwaa Taji la Miss Ilala kwenye kinyang’anyiro kilichopfanyikia Ukumbi wa Golden Jubilee jijini Dar es Salaam. Katika kipute hicho wanyange 13 walikuwa wakiwania taji hilo. Yafuatayo ni baadhi ya matukio yaliyojiri.
PICHA: RICHARD BUKOS / GPL
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad