FEZA KESSY AJIANDAA KWENDA BOTSWANA KUIMARISHA PENZI NA ONEAL

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ameanza kwa kuulizia nauli ya ndege kwenda na kurudi Botswana kutokea Tanzania. “Does anyone know the cost of a return ticket to Botswana from Tanzania? Holla please,” alitweet Feza Kessy.

Jana aliweka ratiba yake nzima kwa kutweet:

Botswana then South Africa. You don’t understand how much I have mad love and respect for you”

Hiyo ina maana kuwa Feza ataenda Botswana kwa mara ya kwanza kukutana na mpenzi wake Oneal na kisha wote kwa pamoja kurejea tena nchini Afrika Kusini kuhudhuria fainali za Big Brother Africa.

Tarehe 17 mwezi huu, mshiriki huyo wa Tanzania kwenye The Chase aliweka hadharani upendo wake kwa Oneal alipoandika:

I Love you @Onizee and the beauty is that it’s not just empty words. May the good Lord protect us.
Bongo5
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mungu awaongoze na nina amini katika love at first sight mtafika tuuuuh

    ReplyDelete
  2. jamani feza fanya kweli oneal ni mwanaume wa maisha yako.

    ReplyDelete

Top Post Ad