Ni jambo jema kumshukuru Mungu kwa kumaliza mfungo huu wa Ramadhani pia kutuweka salama hadi leo... Sikukuu yangu nimeilia nchi Kenya lakini nilikuwa na kibarua kukonga nyoyo za maelfu ya mashabiki zangu jijini Nairobi.Kwangu hii ilikuwa mara ya pili kufanya show kenya,lakini ni mara ya kwanza kabisa kufanya show jijini Nairobi,kutokana na kiu ya mashabiki zangu nchini humo nikaona zawadi ya Eid hii iwadondoke wao.....It was crayzz yanii niliposhuudia umati wa watu wakiimba nyimbo sambamba na mimi,na kufurika hadi getini kiukweli nilifurahi sana kwa hali iliyokuwa usiku wa jana..... Nikiwa na team yangu nzima ya wasafi,stejini na silaha zangu 4 hatari kwenye Mashine alikuwepo Dj Rommy Jones kama kawaida stage manager Qboy msafii alikuwepo kuhakikisha usalama upo saawia kabisa.....!!
UNAWEZA CHEKI PICHA KADHAA ZA TUKIO ZIMA LA SHOW NCHINI KENYA KWENYE SIKUKUU YA EID.....
Backstage nikisubiria go ahead nikafanye maujanja yangu kwa steji...
Ajajajaja....hapo sasa,ndo vile twafanyaga kwa jukwaaaa.....
Qboy Msafii & Dj Rommy Jones...
Ebhana eeeh watu bado wanataka niendeleee.....mpera mpera tu,afe kipa afe beki lakini ushindi lazima
Siwasiki watu wangu wa Nairobi.....nimekuja kuwabamba ile mbaya....
Tumeelewana watu wangu wa kweli........Mi naona kama muda umeisha vile....
Si ndo mashetani ya kigoma yakapanda ni kuanza kuwapelekea kama Bongo tu...
keep it up Dimond..mimi bnafsi nakupenda sana kwani unapiga nyimbo zako vizuri sana.. mwenyezi mungu akuzidishie more..na kitu kikubwa unachonifurahisha kumueka mzazi wako mbele kuliko kitu chochote respect.
Huyo anayejiita PREZOO ametaga kabisa,kapigiwa kwao.
ReplyDeleteupuuzi tu
ReplyDeleteMbona hakuna conekshen kat ya kicha cha habar na habar kamil? Show ilifanyika nairobi ama mombasa?
ReplyDeleteKWELI HIKI NI KI CHAAA CHA HABARI SIO KICHWA CHA HABARI.
ReplyDeletekeep it up Dimond..mimi bnafsi nakupenda sana kwani unapiga nyimbo zako vizuri sana.. mwenyezi mungu akuzidishie more..na kitu kikubwa unachonifurahisha kumueka mzazi wako mbele kuliko kitu chochote
ReplyDeleterespect.
Hi, I find reading this article a joy. It is extremely helpful and interesting and very much looking forward to reading more of your work.. KIU
ReplyDelete