AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tangia nije kwa mjomba amekuwa akinitaka kimapenzi eti anadai kisa mi mkarimu sana kwake na kudai amependezwa na tabia zangu na kusababisha kuamsha hisia za kimapenzi kwangu " for sure ananipenda sana even ananililia juu ya hili"
Cha ajabu ni kuwa nimetumia mbinu zote kumweleza juu ya undugu wetu na yeye kudai si mtoto wa mjomba na anamfahamu baba yake original na yuko serious juu ya hilo na mama yake anaelewa hilo ila baba yake hajui!!
wana Mapenzi naombeni ushauri juu ya hili nifanye nini?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mbona iwe hivyo! Kumbuka kulia kwake si ishara kuwa anakupenda ila ni njia ya kukuwini ili mlibandua tunda maganda alafu ungoje matokea.
ReplyDeleteShauri lako akili si unazo
ReplyDeleteMbona m2mwenyewe havutii!
ReplyDelete