AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi karibuni Jay Z na Beyonce waliamua kurudisha fadhila kwa wafanyakazi hao wapatao 80 kwa kuamua kuwapa bonus ya zaidi ya $46,000 sawa na zaidi ya shilingi milioni 70 kila mmoja kutokana na kazi nzuri wanayoifanya.
Wafanyakazi waliodondokewa na zali hilo ambalo hawakulitegemea ni wale wa kampuni zake zote, club yake ya 40/40 hadi wale wafanyakazi wao wa nyumba zao 3 za Marekani.
Jay Z (43) aliamua kufanya wema huo baada ya kurejeshewa sehemu ya kodi ya ziada aliyolipa serikali ya Marekani ya $ 3.7 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 9 na kuona ni bora pesa hiyo arudishe fadhila kwa watu wanaomtumikia kwa bidii na uaminifu.
Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na Jigga kiliiambia Daily star, hakuna aliyeachwa katika neema hiyo, na baadhi ya wafanyakazi hao walimpigia msaidizi wa Jay Z kumuuliza kama huenda wamepewa pesa kimakosa.
Source:Bongo5.com
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Jays na beyonce wapo worth 200 million Lazima if awe because of taxes resons .anawafanyakazi 10 tu .
ReplyDelete