AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetangaza kutoa donge nono la shilingi milioni 100/= kwa mtu yeyote atakayewezesha kupatikana kwa taarifa za kundi la uhalifu linalojihusisha na vitendo vya kuwamwagia na kuwadhuru watu kwa tindikali.
Kamanda wa Polisi Kanda hiyo, Suleiman Kova amesema: “Nimeamua kuomba fedha hizi serikalini ili nimpe mtu atakayewezesha kupatikana kwa taarifa hizo, hatimaye kukomesha vitendo hivi. Kemikali hii imekuwa na madhara makubwa.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK