MACHANGUDOA WAZIDI KUKICHAFUA CHUO CHA UDOM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ongezeko  la  makahaba  mjini  Dodoma  limeendelea  kuwa  kero  kwa  chuo  kikuu  cha Dodoma  na  wanafunzi  wake  kwa  ujumla....

Kero  hiyo  imekuwa  ikisababishwa  na  baadhi  ya  makahaba  hao  kujifanya  wanafunzi  wa  chuo  hicho  kwa  lengo la kujiimarisha  kibiashara...

 Takribani miezi mitatu  iliyopita, kahaba mmoja alinasawa  na polisi   mjini Dodoma akijiuza kwa  kujinadi  kuwa  yeye  ni  mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo kikuu cha Dodoma ..

 Baada  ya  mahojiano  ya  kina  na Polisi Central,  ilibainika  kuwa  kahaba  huyo  hakuwa  Mtanzania  na  hakuwa  mwanafunzi  wa  chuo  chochote  hapa  nchini  na  badala  yake  alikuwa  ni  raia  wa  Malawi.

Upekuzi wa polisi  ulifanikiwa  kunasa  ARVs  za  kupunguza  makali  ya  virusi  vya  UKIMWI  toka  kwa  mwanamke  huyo  aliyekuwa  akiendesha  maisha  yake  kwa  kuuza  mwili  wake  maeneo  ya  Uhindini  mkoani  humo.

 Mbali  na  ushahidi  huo, mtandao huu  umefanikiwa  kumnasa  binti  mwingine  anayejiita  SECHE  MAUTAMU...

Seche  ni  binti  aliyeamua  kujiuza  kupitia  mtandao  wa  facebook  kwa  kuwalaghai  wanaume  kwamba  yeye  ni  mwanafunzi  wa  UDOM....

Hata  katika  profile  yake, binti  huyo  ameweka  wazi  kuwa  yeye  ni  mwanafunzi  wa  UDOM  huku  ukurasa  wake  ukipambwa  na  picha  kadhaa  za  uchi.....

Kinachotia  shaka  ni  kwamba, picha  zote  25  zilizowekwa  hazithibitishi  moja  kwa  moja  kwamba  Seche  ni  mwanafunzi  ama  wa  UDOM au  chuo  chochote  cha  Tanzania...

Picha  zilizowekwa  ni  za  gheto lake akiwa  UCHI, hali  inayotia  shaka  kubwa  ya  kukubaliana   na  uanafunzi  wake  wa  UDOM....

Maeneo  makubwa  yaliyoathiriwa  na  makahaba  hao  ni Chako ni chako, Uhindini,eneo la ofisi za hood karibu na club moja ya usiku na  maeneo ya ukumbi wa 84. 

Cha  kushangaza  ni  kwamba  malaya  wote  hujiita  wanafunzi  wa  UDOM.Wakiulizwa  kozi  wanazosoma  huishia  kujiuma  na  kuwa  wakali . 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad