AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mangula hana kazi yoyote ya maana ambayo amefanya ndani ya CCM mpaka sasa, lakini pia kifikra na kujieleza Mangulla amechoka sana kama tulivyomshuhudia jana kwenye runinga wakati wa mjadala wa kipindi cha Uzalendo.
CCM ndani kwa ndani tumechoka mno na kwa nje tunazidi kuchokwa zaidi. Binafsi sioni hatua zozote za maana zinazofanywa na viongozi wa juu wa CCM hususani Philips Mangula kunusuru hali hii.
Je, hali hii inaashiria kwisha kabisa kisiasa kwa Mangula?
Source:Jamii forums
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK