MIJIMAMA: WANAUME WANATUPENDA SISI MABONGE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Na Waandishi Wetu
MAKUBWA! Madogo yana nafuu! Wanawake wenye maumbile makubwa wanaofanya biashara haramu ya kuuza miili yao jijini Dar, wamefunguka kwamba wanaume wamekuwa wakiwapenda kwa sababu ya ubonge wao

Mijimama hiyo ilitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita wakati ikizungumza na paparazi wetu aliyekuwa katika oparesheni maalum ya kuhojiana nao ili kujua kinachowafanya wajihusishe na biashara hiyo inayohatarisha maisha yao.

Akizungumza na mwandishi wetu, mmoja wa wanawake hao aliyejitambulisha kwa jina moja la Zainabu anayefanya biashara hiyo maeneo ya Sinza Afrika Sana, alisema umbo lake limekuwa likiwadatisha wanaume kibao.

“Kaka si unaiona hii shepu yangu, hapa kuna mwanaume anayeweza kunipita na kwenda kwa wale vimbaumbau,” alisema Zainabu huku akimuonesha paparazi wetu wasichana wembamba waliokuwa mbele yao



Mwanamke mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Sara Mashauzi, aliyekuwa katika mawindo ya wanaume wakware na Zainabu alisema: “Mimi nilianza haya mambo baada ya kuachana na mume wangu, sasa kila ninakopita wanaume wakiniona tu huanza kunipigia miluzi na wengine kuniita, sista… sista… hongera…, nikaamua kujiuza ili nipate kipato kwani maisha yalibana sana.”
Sara aliongeza kuwa, wanaume wengi anaotoka nao wamekuwa wakimsifia kwa umbo lake ‘pana’ na kudai kwa siku huwa hakosi shilingi 50,000 na siku nyingine anapata hadi 80,000.

Karibu wanawake wote mabonge waliozungumza na paparazi wetu maeneo ya Kinondoni, Buguruni, Manzese na Oysterbay ambako biashara hiyo imeshamiri walidai maumbo yao yamekuwa yakipendwa sana na wanaume hususan waume za watu.
Paparazi wetu alipomuuliza Sara, Zainabu na mwenzao aliyejitambulisha kwa jina la Sikitu kwamba hawaoni kama wanaharibu soko la wenzao wembamba, kama vile waliambiana jibu wakasema watajiju!



Baadhi ya madadapoa wembamba waliozungumza na paparazi wetu, waliwafungukia majimama hao na kudai wamewaharibia soko lao na kusababisha wajiuze kwa promosheni.

Gazeti hili linakemea tabia hiyo chafu na isiyofaa katika jamii na kuviomba vyombo husika kupambana na kuwasambaratisha wasichana hao. Mhariri.

Source:Global publishers

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

20 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Laiti kama wanaume wangekuwa hawawafuati wangesharud kijijini kulima.wanafurahia maisha ambayo unaweza ukauawa saa yoyote. Hivi unapelekwa sehemu usikojua ndo maana wengine wanapigwa picha chafu bila kujua au kufanyishwa ngono na mbwa. Si tabia nzuri kabisa..

    ReplyDelete
  2. kweli maisha magumu khaaaa

    ReplyDelete
  3. wote hao wamekimbia vijijini kwa kukwepa kulima.

    ReplyDelete
  4. We unapenda kulima?

    ReplyDelete
  5. Mijanaume ni mijitu ya ajabu sana kha!

    ReplyDelete
  6. Halafu nimegundua asilimia kubwa ya hawa Wafanyabiashara haramu wa kujiuza ni wanawake wa Dini ya Kislamu na kama hamuamini fanyeni uchunguzi, kama hamtaskia Mariamu, Chiku, Mwanahamisi, Mwajuma, nk.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwani kuitwa Mariam, Mwajuma,Mwanahamisi ,Chiku ndio kuwa mwislam!? Dini imeingiliana na ninikatika uchangu?

      Delete
  7. Kuma mako ww,umeona majina ya mariam ndio wanajiuza ehh? Una shangaz yako anaitwa mariam nn ndo anajiuza? Kujiuza ni tabia ya mtu hakuna dini wala sema weng wao wanapenda kutumia majina si yao soo next time usikurupe na ukaharibu majina ya watu eti mariamu tena hata kuandika hujui fala ww

    ReplyDelete
  8. matusi ya nn,povu linakutoka kisa jina la mariam,itakuwa na ww unajiuza ndo maana umerusha povu

    ReplyDelete
  9. We Heshim dini z wa2 unapigwa maj nn?

    ReplyDelete
  10. tupge mahesabu kila siku anapata elfu 30 tu kwa mwez n laki 9...wanawashnda wa2 weng sana wanaofanya kaz serekalin kwel wame2mia fursa ingekuwa biashara rasm serikali ingepata kodi.

    ReplyDelete
  11. Fala mamako, tena yaelekea una dada anayefanya hiyo kazi that's why imekugusa sana. Kumamako dada zako wataacha kujiuza wakati hamna elimu zaidi ya madrasa, na ndio maana Wamarekani wanawadharau na kuwafanya nyanya.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ww mwenyewe pia unajiuza mbwa we! Tena ukome kulashifu dini za watu bwabwa we'

      Delete
  12. Du. Basi bwana ukweli unauma. Lakini wakina Rose nao wamo.

    ReplyDelete
  13. Ha,ha,ha,ha, hapana ukimskia mtu anajiita Rose yuko kwenye hiyo biashara sio kweli jua huyo ni Mwajuma au Mwanaidi kamua kujiita hivyo ili kuosha nyota.

    ReplyDelete
  14. jamani mambo ya uchangu hayahusiani kabisa na imani ya mtu kwakuwa hao wanaofanya biashara hiyo wangekuwa na hofu ya M/Mungu wasingehusika na hiyo biashara..pia wengi wao hayo majina wanayotumia ni ya uongo sio ya kwao!

    ReplyDelete
  15. Matako ya bibi ako ww unaekashfu dini ya wa2,kuma la mama ako kama karai!

    ReplyDelete

Top Post Ad