UJUMBE MZITO WA RAY KWENDA KWA JAMII KUHUSU UTUMIAJI WA MADAWA YA KULEVYA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rehema Chalamila the award winning singer ambaye aliathirika na matumizi ya dawa za kulevya na baadae kupona. Ameendelea kuwa kioo cha jamii kwa ku-share experience yake baada ya kupona kwenye ishu ya dawa za kulevya. Ray C ametoa ujumbe mpya ambao ni muhimu kila mtu kuujua kwasababu kwenye mazingira yetu kuna waathirika wengi wa dawa za kulevya.
Haya ndiyo maneno ya Ray C mwenyewe ambayo yana ujumbe mzuri ndani yake:

Wote hawa tuliokaa hapa(picha hapo chini) tuliathirika na dawa za kulevya na tumepona kwa kunywa dawa moja tu inayoitwa Methadone. Inapatikana Muhimbili na Mwananyamala pekee na ni bure kabisa.
Tunamshukuru sana Mh Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutuletea dawa hii.Ningependa kuwashauri walioathirika wa dawa za kulevya iwe wewe,ndugu yako,rafiki,kaka,dada,mjomba,jirani au yoyote aliye karibu na wewe.Usiogope amua tu kwamba unataka kupona na nenda kanywe hii dawa utapona kabisa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Methadone sio dawa ya addiction kama ilivyo chloroquine for malaria. Methadone ni alternative drug inayokufanya usione tena hamu ya your drug of choice kama ni heroine or cocaine etc. Lakini at least with methadone, unaweza kufunction in your normal activities. Methadone pia inasababisha addiction only that, as an addict you are addicted to a lesser destructive drug. Kwa hiyo ukiita dawa ya addiction unakosea na unawapotosha watu. Methadone inatumika kama process ya mtu kuacha dawa za kulevya. Ni sawa na kusema basi huyu mtu hawezi kukaa bila kunywa gongo,ili kumsaidia kwa sababu gongo ina madhara zaidi, tumpe konyagi ili apate feeling anayoitaka lakini at least konyagi imetengenezwa kitaalam. In the meantime, tumsaidie kumpa ushauri nasaha ili aache kunywa pombe. My advice Ray C ni kuwa, hata kama umekunywa methadone, kama hutafuatilia therapy uliyopewa kuhusu behaviour iliyosababisha utumie hizo dawa in the first place utarelapse in less than a year. Don't put the entire blame kwa yule aliyekufundisha kutumia in the first place kwa sababu kufanya hivyo, unakwepa your responsibility and the part you played katika kuharibu maisha yako. Lazima ukubali kuwa the lifestyle of a celebrity inatamanisha kufanya vitu kama hivyo and you were not strong enough to reject ad to stay away. You did not know that you could get addicted and not that ulikuwa hujui unatumia madawa ya kulevya. Kitu kingine ambacho ningependa kushare na wasomaji ni kuwa, by the time unapata addiction, tayari ni lost case yani wewe ni mgonjwa kama anavyosema Ray C. Na kwamba mahitaji yako y dawa katika stage hii siyo tena kupata good feeling hapana, bali ni kupona yani ni mgonjwa bila dawa hiyo. Ile high na kick unayopata ukivuta ni stage ya mwanzo kama mvutaji lakini inakwisha ukiwa addict yani unakuuwa normal ukivuta na usipovuta mgonjwa hakuna raha hapo tena bali ni uzima na nafuu ukivuta na mgonjwa usipovuta. Watu wengi wanadhani kuwa watabakia katika stage hiyo ya kupata high kumbe wanaendelea na kuwa addicts. Macelebrities wengi wanajiita recreational drug users lakini wanapoendelea kufanya hivyo wanakuwa addicts. Ray C, stay away from alcohol kwa sababu ndio inayomfanya mtu asifanye maamuzi sahihi, stay away from unnecessary and hard partying kwa sababu drugs is the main partying accessory siku hizi. Huku ulaya vijana wakienda disco lazima abebe drugs kidogo kwa sababu hatopata party feeling. It is sad but the truth.
    Thanks for reading whoever aliyepata muda. Mimi ni social worker na wateja wangu wengine ni struggling drug addicts wanaotumia hiyo hiyo methadone lakini wanarelapse kwa sababu hawajaacha life style Fulani. God Bless Tanzania.

    ReplyDelete
  2. Thanks dada kwa ushauli wako,for me in addition it better kuwa mbali na groups using madawa and keeping your self busy for hard working na maombi sababu huki penda kuwa closs na those groups you can resume,apart for long time with those groups you can forget and teach others to escepe.
    My massage
    If u want to stop, its your self comitment to say i want to stop,and kwa wale bado if your frend use them, its not nessessary to use it to keep your frend ship na utoe imani if u use u will look good member na kukubalika,hapana.
    Thanx for you time passing through my msg.I was the drug user as well exept heroine or cocaine.I thank god for the bless.I am no longer user only i am a good forther of one babygirl.

    ReplyDelete

Top Post Ad