AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Unajua Shija domo lake lilikuwa zege kumbe alikuwa ananitaka lakini akashindwa kuongea hadi mwenzake Sajuki (marehemu mumewe) alipotuma maombi na kusikilizwa, Baada ya Sajuki kukamilisha kila kitu na kuwa mke na mume ndiyo aliponitonya kuhusu habari ya Shija kuwa wakati wananifuata kumbe alikuwa ananitaka ila marehemu Sajuki akawa mjanja." alisema Wastara
Shija mweneyewe anasema kuwa wakati huo alipokuwa anamtaka Wastara yeye alikuwa makini na kazi hasa utayarisshaji wa filamu na suala la mapenzi lilikuwa la ziada
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Shija kubal ulikuwa domo zege usitoe reason.
ReplyDeleteSa inahusu nini!had myaongee leo au ndo nyege zishaanza kusumbua?akakulale basi c sajuki hayupo.ovyo kweli mastaa nyie.
ReplyDeleteShida ni kuwa mtu ukimpenda sana unaweza shindwa kwa muda fulani kumweleza yaliyo moyoni juu yake.Kwa siwezi kumshangaa huyu,ukimuuliza anaweza akasema hivyo.
ReplyDeleteSaa ndo nn ujinga mwingine bhana nimejua kitu cha maana
ReplyDeleteINAHUSU AU NDIO UNAMTAKA!!!! WASTARA MJINGA SANA
ReplyDelete