AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya Azam imeichapa timu ya Simba ya Jangwani kwa mabao 2-1 leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye muendelezo wa mechi za ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.Bao la Simba lilifungwa na Ramadhani Singano na mabao ya ushindi ya Azam yalifungwa na mshambuliaji wao hatari kutoka Ivory Coast Kipre Tchetche.Kwa ushindi huo Azam inaongoza ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hahahahahah chezea azam wewe,simba tumewapakata na cola tumewanywesha.
ReplyDelete