MSANII WA BONGO MOVIES AVULIWA NGUO ZOTE CHINA AKIKAGULIWA...ALALAMIKA KUTOMASWA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MSANII wa Bongo Movie, Devota Mbaga hivi karibuni alipatwa na kisanga cha mwaka baada ya kuvuliwa nguo na maofisa wa uhamiaji alipoenda Hong Kong, nchini China kwa ajili ya shughuli zake za kibiashara. 
Kwa mujibu wa staa huyo, alifanyiwa kitendo hicho cha kuvuliwa nguo zote na maofisa wa uhamiaji mara alipotua Uwanja wa Ndege wa Hong Kong na kumsachi kwa kuhofiwa kuwa amebeba ‘unga’.
Akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu, Devota alisema baada ya kuvuliwa, alishikwa sehemu zake za siri kitendo alichokiita ni cha kidhalilishaji.
“Ilikuwa ni baada ya kugongewa pasipoti yangu nikaingizwa kwenye kitengo cha polisi wa madawa ya kulevya ambao walinitaka nivue nguo zote ili nikaguliwe,” alisema kwa masikitiko.
Msanii huyo alisema mbaya zaidi siku hiyo alikuwa katika mzunguko wake wa mwezi lakini maofisa hao hawakujali.
Kama vile haitoshi, Devota alisema kuwa, baada ya kumalizika kwa zoezi hilo maofisa hao walimchezea sehemu za kifuani huku wakimwambia kama hakutaka kufanyiwa hivyo angerudishwa alikotoka.

 “Kwa kweli nimeumia sana kwa kitendo nilichofanyiwa, nimeshinda nikilia kutwa nzima na kila nikikumbuka naumia,” alisema Devota.

Udaku Specially Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wachina hawafai lazima wamemtia vidole dadae2

    ReplyDelete
  2. duuh,pole txana dada angu!

    ReplyDelete
  3. bongo move wote malaya hao

    ReplyDelete
  4. pole sana dada yetu.....

    ReplyDelete
  5. sawa sawa maana hamuaminik nyinyi

    ReplyDelete
  6. Sa unasem ili iweje ili 2jue ka umeshikwashikwa uko nikutafut umarufu ili 2jue kwamb na we ua unaenda china pumbavuuuuuuuuuuuuuuu........... na wangekutomba kabisa malaya wewe next tim utupe na pich

    ReplyDelete
  7. msenge we kuvuliwa nguo haitoshi wangelegea mkundu maana ume zidi umalaya bongo movie

    ReplyDelete

Top Post Ad