JAKAYA KIKWETE"TUMEWASHINDA MAADUI ZETU WALITAKA KUPANDIKIZA CHUKI"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Jakaya Kikwete amesema maadui wote ambao walitaka kupandikiza chuki miongoni mwa Watanzania kwa lengo la kuvuruga amani ya nchi wamedhibitiwa .

Rais Kikwete alisema kuwa Serikali yake itaendelea kulinda amani ya nchi na maadui wote wanaohusika na kutaka kuvuruga nchi watachukuliwa hatua kali za kisheria. “Kulikuwapo na upepo mbaya, lakini kwa sasa Tanzania ni shwari na tumemshinda adui,” alisema Rais Kikwete jana kwenye Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere yaliyoandamana na sherehe za kuzima Mwenge wa Uhuru, mkoani Iringa.

Alisema katika siku za hivi karibuni, maadui wasioitakia mema Tanzania walikuwa na mkakati wa kuvuruga amani ya nchi, lakini Serikali kwa kushirikiana na vyombo vya dola vimewadhibiti na nchi iko salama.

Rais Kikwete alisema kuwa Serikali haiwezi kuvumilia vitendo vya uvunjifu wa amani kwa sababu inajua wazi kwamba nchi ikiingia kwenye mgawanyiko, mshikamano utavurugika na shughuli za maendeleo zitasimama.

Katiba Mpya

Rais Kikwete alisema mwaka 2014 ni mwaka wa kipekee kwa nchi kwa kuwa utakuwa na mambo makubwa matatu yatakayofanywa.

Rais Kikwete alisisitiza kwamba Katiba Mpya ni lazima ikamilike mwakani kama mambo yatakwenda kama ilivyopangwa.

Vilevile, alisema mwakani Tanzania itasherehekea miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyoondoa udhalimu na kuwarudishia Wazanzibari heshima ya mwanadamu na utu wake.

“Pia tutasherehekea miaka 50 ya Muungano wetu. Nawaomba Watanzania wajiandae kuyafanikisha vizuri mambo hayo ili historia mpya ifunguliwe nchini.

“Wazanzibari waanze miaka mingine baada ya miaka hamsini ya uhuru wao, muungano uanze miaka mingine baada ya miaka hamsini na Katiba Mpya itupeleke miaka mingine tukiwa wamoja,” alisema Kikwete.

Rais Kikwete alionya kuwa asingependa mchakato wa kupata Katiba Mpya uligawe taifa na kuleta mfarakano utakaovunja umoja wa kitaifa badala ya kuuimarisha.


“Tunataka tuwe na Katiba itakayojenga, siyo kubomoa, kutugawa kwa misingi ya kiitikadi,” alionya Rais Kikwete.
-Mwananchi

Udaku Specially Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Can you tell us more about this? I'd care to find out more details.


    my webpage: post_26441056

    ReplyDelete
  2. Hey there! I know this is kinda off topic but I was wondering if you knew where I could find a captcha plugin for my comment
    form? I'm using the same blog platform as yours and I'm having trouble finding one?
    Thanks a lot!

    Here is my web blog: people know

    ReplyDelete
  3. Howdy! I know this is kind of off topic but I was wondering if you knew where I could
    find a captcha plugin for my comment form? I'm using the same blog platform as yours and
    I'm having trouble finding one? Thanks a lot!

    Feel free to surf to my web blog: respawnables hack

    ReplyDelete
  4. Τɦe brokers can also assist theiг clients to have different add on policies from different insurancе companies օn their basе policy, and
    can ɑlso effectively help in rеducing their premiumѕ with deductibleѕ.
    Saving time is one of the most imρߋrtant rеɑsons you should hire a broker for.
    The brօker can enlighten the consumer with any aspect of the mortgage
    deal.

    Also visit my weblog: mortgage broker calgary

    ReplyDelete
  5. Being deeply loved by someone gives you strength;
    loving someone deeply gives you courage. The bride's ring has two
    minute diamond chips on the face of Hello Kitty which make it more graceful.
    Then you can easily try free online makeover programs that let you try on different haircuts.
    After you have picked out the best dress for your graduation day, you may be thinking that you
    have done with all the required preparations for the event.
    So it looks like Pop - Cap is going to be treading some rather derivative ground with
    Plants v Zombies, which is, essentially, a zombie defense
    game.

    Here is my homepage; how to draw cute anime girls step by step

    ReplyDelete
  6. This article will help the internet visitors
    for creating new webpage or even a weblog from start to end.


    Here is my blog Www.Downloadicus.Com

    ReplyDelete

Top Post Ad