AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akihojiwa leo NA SAUTI YA AMERIKA, Mengi amesema kuwa kwanza serikali kugawa gesi kwa wageni bila hata kuwepo kwa sera ya gesi ni uporaji mkubwa wa mali za Watanzania bila ridhaa yao. Amemwambia hayo maneno ya kuuza juice aende akawaambie wanafunzi wake na asidhani kila Mtanzania hawezi kuwekeza kwenye gesi. Amemshauri arudi chuo akafundishe na maswala ya gesi awaachie Watanzania
Source:SAUTI YA AMERIKA
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hana lolote huyo mengi tamaa tu
ReplyDeletektk viongoz ambao hawana kauli mzur na hwana busara dunian bas huyu muhongo anaongoza,,,,,namchukia xna kwa kauli zake,na hajaanza leo
ReplyDeleteLe profeseri,..,visit here.
ReplyDeletehttp://www.getpaid4visits.com/index.php?refcode=14827
We nawe na hiyo link yako unachosha mamayo
Delete