NAY WA MITEGO"NASUMBULIWA NA WATU WA USALAMA WAKINIHUSISHA NA MADAWA YA KULEVYA"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rapper Nay Wa Mitego amesema amekuwa akisumbuliwa mno na maafisa usalama pamoja na vyombo mbalimbali vya habari wanaomdhania kuwa anajihusisha na biashara ya madaya ya kulevya kitu ambacho amekuwa akikanusha kwamba sio kweli.

Akiongea na Bongo5 leo kwa njia simu Nay amesema anasikitishwa kupokea taarifa zinazodai kuwa anajihusisha na biashara hiyo haramu, kitu ambacho hakifanyi kwakuwa anategemea shughuli zake za muziki zinazomlipa vizuri.

“Watu wamekuwa wakishangaa sifanyi show hata mwaka mzima lakini maisha yanaenda namiliki gari ndio maana wanaongea mengi huku media na maafisa usalama wananichunguza kila siku,” alisema Nay.

Pia msanii huyo wa Salam Zao, amesema yupo kwenye maongezi na kampuni ya simu ili imfanye kama balozi wake.


“Nasubiria mambo yangu yaende poa, nimeingia mkataba wa kuwa balozi wa mtandao wa simu hapa nchini bado muda wake kuuweka wazi kwasababu tupo kwenye makubaliano zaidi na pia ikifika muda nataka kuanika vyanzo vyangu vyote vya mapato, ” alisema

Udaku Specially Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HUYU MBUZI ANAPENDA KUJISHAUAAAAA..HUO WIMBO MMOJA KABEBWA NA DIAMOND ANAONA KAWIIINI..MBUZI TU HAKUNA MTU ANAKUPENDA WEWE KIRUSI
    HUNA SOKO HUNA RAMANI

    ReplyDelete
  2. Sasa mwezako yake yanamuishia, anajiweza, inawezekana ww ukawa unakula kwa baba yako umri huo ndomana unakuwa na majungu, acha majungu mtoto wa kiume, MAISHA NI KUTAFUTA SIO KUTAFUTANA. Puumbaafuuu!$

    ReplyDelete
  3. huyu jamaap anaongoza kwa kuchukiwa hapa bongo..craaap

    ReplyDelete
  4. lisemwalo lipo!

    ReplyDelete
  5. Ye anatafuta hela nyie mnanuka vikwapa.............Mjini hapa nawe tafuta njia ya kutoka ,Big up Nay now Mchelemchele kibao wanakuiga komaa bro,uki-mind si muelewa nataka kuwaweka sawa nyie mamburula

    ReplyDelete

Top Post Ad