AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na RAI jana, Brandts alisema Simba hawamtishi kwa kuwa ana kikosi bora ambacho kina kila sababu ya kushinda mechi hiyo.
Alisema amekuwa akiifuatilia Simba mara nyingi inapocheza mechi na hakuna ushindani ambao umekuwa ukionyeshwa na wachezaji wa timu hiyo, licha ya kupata ushindi katika mechi zake.
“Simba hawana kiwango kikubwa, wanabebwa na mabao ambayo kwa bahati wamekuwa wakifunga, kikosi changu mimi ni bora, wachezaji wangu wana nguvu za kutosha na uwezo zaidi kuhakikisha tunashinda,” alisema.
Yanga tayari imewasili Bukoba kwa ajili ya mechi yao dhidi ya Kagera Sugar itakayochezwa kesho kwenye Uwanja wa Kaitaba
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
lazima tummalize huyo mnyamaaa!
ReplyDeleteWale Wanaotafuta Ajira
ReplyDeleteWanaotafuta Nafasi za Ajira Click Hapa
SIMBA kama kawaida yetv, ni mwendo wa 5 tu
ReplyDeletexema mnyamaaa ndo habar ya mujin hatar sanah hiyooo et simba lazima 2mkalishe mtoto wa kwny jangwa
ReplyDeletesimba wanaumeeeeeeeeee
ReplyDelete