AVRIL AOMBA MSAMAHA KWA KUPIGA PICHA NA MUME WA MTU ..BAADA YA PICHA KULETA MANENO MENGI ONLINE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Picha ambayo aliiweka Avril Mtandaoni akiwa amepiga na mtangazaji wa Radio ya Q FM Rashid Abdalah ambaye ni mume wa Lulu Hassan Mtangazaji wa Citizen TV ilileta Utata Baada ya Mashabiki wake kuanza kusema hao wawili wana Uhusiano wa tofauti na kazi...


Avril Ameamua kuandika haya hapa chini kuweka mambo sawa na kuondoa minong'ono hiyo:
Let me put things straight, I have a working relationshp wth Rashid. I was at AM Live and Rynoh called me for an interview before taking me to the Q FM studios after which we took a few photos.


“I am not seeing any man; I am not dating or having side plates whatsoever. Sorry for the damage the story has brought to my fans and Rashid.”

Udaku Specially Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hata huyo mume naye ni kicheche utapiga je picha ya utata na msichana hali kwamba umme wa mtu

    ReplyDelete

Top Post Ad