AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Kipindi cha Action & Cut cha Channel Ten hivi karibuni, Dokii alisema kutokana na jinsi alivyoshiriki katika kampeni mbalimbali za Kikwete hadi kupata ajali na kuumia mkono, wambeya wamekuwa wakimzushia kuwa alijipendekeza na hakupewa msaada wowote alipoumia.
“Nawashangaa wanaosema kuwa najipendekeza kwa JK, eti wanasema nilitelekezwa. Kwa taarifa yao tu ni kwamba, JK aliposikia nimepata ajali, alituma madaktari Wazungu kuja kunihudumia.
“Halafu hata wakisema najipendekeza pia naweza nikakubali, nisipojipendekeza kwake wanataka nikajipendekeze kwa nani? Najua hata wao wanatamani kuwa karibu na viongozi kama mimi,” alisema
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
huyu ni anakula unga siku hizi au..mbona anatisha..
ReplyDeleteYaani hata mimi simuelewi Doki siku hizi kaa mwehu!
DeleteUnga ni kitu cha ajabu sana check alivyokiwa chizi analopoka ovyo.
DeleteFindng KIK kah kama kakibwengoo
ReplyDeleteHuyu ni oyaaa!!.
ReplyDeleteMpeni japo cha kwenye ukucha
ReplyDeleteYupo sawa!
ReplyDeleteboya 2 huyu
ReplyDeleteUtaishia kufilwa mkundu kwa kujipendekeza kwako.
ReplyDeleteHuyo unayejipendekeza kwa siyo mtu!
ReplyDeletehana mpya wala adabu huyo kama ni yai viza vile
ReplyDeleteRais wetu wanojipendekeza yy anawalamba 2 mpaka wafurahi
ReplyDeleteWacha waseme!
ReplyDelete