JACK WA CHUZI "NISHAOLEWA MIMI SINA UJANJA TENA SIWEZI TOKA OUT BILA MUME WANGU MASHOSTI MLIE TU"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Stori: Mayasa Mariwata
MUME wa staa wa sinema za Kibongo, Gadner Dibibi amemchimba biti mkewe mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ kwenda kujirusha na mashosti zake bila kuongozana naye.

Akipiga stori na paparazi wetu, Jack alisema mumewe hamzuii kwenda kujirusha viwanja lakini anachotaka ni kuona wanaambatana kama kumbikumbi kitu ambacho kinamweka njia panda kwani marafiki zake huwa wanashindwa kujiachia pindi wanapokuwa na mumewe huyo.
“Mume wangu amenizuia kabisa nisitoke peke yangu na hata mashosti zangu wakihitaji kampani yangu hulazimika kunifata kiwanja nilichopo na mume wangu, sina ujanja tena nishaolewa miye,” alisema Jack.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad