AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chameleone alikuwa ametajwa kuwania kipengele cha Best International Act na alikuwa akishindana na wasanii wengine wakiwemo Rihanna na D'Banj.
Tuzo hizo zimetolewa jana Ijumaa na leo Jumamosi pia huko jijini London.
Kupitia Facebook, Chameleone ameandika kuelezea furaha yake baada ya kutwaa tuzo hiyo:
"It's hard to fully express my gratitude towards all of you who appreciate My MUSIC, and love AFRICAN music at large. You are the reason I have managed to add another onto my list and rankings. Am fresh and still jubilating with you This joyous feeling in me i congratulate my fans worldwide, we did this together i have just won BEFFTA AWARDS BEST INTERNATIONAL ACT- DR JOSE CHAMELEONE."
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Conglatulations JOSY CHALEON, Big is Big, we like ur music here in TZ. CHEERZ.
ReplyDeleteCongrats dude,..den let us make money,.visit dis link ryt here...
ReplyDeletehttp://www.getpaid4visits.com/index.php?refcode=14827
jose mziki mzito mi mwenyewe namkubalije
ReplyDelete