JOSE CHAMELEONE ASHINDA TUZA YA BEFFTA AWABWAGA RIHANNA NA D BANJ

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jose Chameleone ameibuka mshindi kwenye tuzo za BEFFTA, tuzo kubwa za Ulaya kwaajili ya watu weusi ambazo huwatuza watu kwenye burudani, fashion, televisheni na sanaa.
Chameleone alikuwa ametajwa kuwania kipengele cha Best International Act na alikuwa akishindana na wasanii wengine wakiwemo Rihanna na D'Banj.
Tuzo hizo zimetolewa jana Ijumaa na leo Jumamosi pia huko jijini London.
Kupitia Facebook, Chameleone ameandika kuelezea furaha yake baada ya kutwaa tuzo hiyo:

"It's hard to fully express my gratitude towards all of you who appreciate My MUSIC, and love AFRICAN music at large. You are the reason I have managed to add another onto my list and rankings. Am fresh and still jubilating with you This joyous feeling in me i congratulate my fans worldwide, we did this together i have just won BEFFTA AWARDS BEST INTERNATIONAL ACT- DR JOSE CHAMELEONE."

Udaku Specially Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Conglatulations JOSY CHALEON, Big is Big, we like ur music here in TZ. CHEERZ.

    ReplyDelete
  2. Congrats dude,..den let us make money,.visit dis link ryt here...
    http://www.getpaid4visits.com/index.php?refcode=14827

    ReplyDelete
  3. jose mziki mzito mi mwenyewe namkubalije

    ReplyDelete

Top Post Ad