AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na paparazi wetu, Wastara ambaye ni nadra sana kukosea awapo mbele ya kamera, alisema yeye kama mwanamke aliyekamilika hadhani kama atakaa bila mwanaume lazima ataolewa tena.
“Mimi ni mwanamke niliyekamilika, suala la kuolewa ni lazima, japo kwa sasa sifikirii kufanya hivyo, lakini sidhani kama nitaweza kukaa bila mwanaume, lakini pia usumbufu kutoka kwao unaendelea,” alisema Wastara
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Olewa tu dada maisha ndo hayahaya,no way!
ReplyDeletenadha wewe ndo kioo cha jamii,wadada wote bongo move wanatakiwa kujifunza kwako, unajitahid sana kuwa kioo cha jamii
ReplyDeleteI wish nikuoe sijaona mfano wako kwa uliyopitia!.
ReplyDeleteMh maamuZi juu ako
ReplyDeleteMungu awe nawe
ReplyDeleteMmnh! Na miwaya je dada?! Mpango wa kugawiana ukimwi upo nje nje hapo.
ReplyDeleteumejuaje kama ana ukimwi?
DeleteDozi si zipo
DeleteDADA WE MAANA HATA MABINGWA WA KUTUSI WAMEKSIFIA niite BADA.
ReplyDelete